: :inin Kyiv (EET)

Makundi ya mechi za bara Ulaya yapangwa


Makundi ya timu zitakazoshiriki kwenye ligi ya klabu bingwa ulaya yametolewa leo huku timu ya Arsenali ikipata afueni ya kuwekwa kwenye kundi ambalo linaonekana kuwa na upinzani mkuu kutoka kwa mabingwa wa ufaransa Paris Saint Germain pekee.Pep Guardiola atalazimika kumenyana na timu yake ya zamani Barcelona huku leceister City wakipata upinzani kwa Fc Porto ya Ureno nayo Tottenham ikikwaruzana na Monaco na CSKA Moscow.makundi yenyewe yako kama ifuatavyo
Kundi A
PSG …read more

Source: Mediamax Network

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions