: :inin Kyiv (EET)

Arsene Wenger aikataa timu ya taifa England


KOCHA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger, ameweka wazi kuwa hana mpango wa kutaka kuifundisha timu ya taifa ya England (Three Lions), akichukua nafasi ya Sam Allardyce, ambaye amefungashiwa virago.
Chama cha Soka nchini England (FA), kwa sasa kinahangaika kutafuta kocha ambaye atachukua nafasi ya Sam, lakini inadaiwa kwamba katika makocha ambao wametajwa kuwaniwa na chama hicho ni pamoja na jina la Wenger.
Hata hivyo, kocha huyo ambaye alikuwa anasherehekea miaka 20 ya kuitumikia klabu hiyo, amedai kwamba kwa sasa hana mpango wa kuondoka Emirates hadi pale mkataba wake utakapomalizika.
Mkataba wa kocha huyo unatarajia kumalizika …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions