: :inin Kyiv (EET)

KLITSCHKO ATANGAZA KUSTAAFU NGUMI


KIEV, UKRAINE
BINGWA wa ngumi nchini Ukraine, Wladimir Klitschko, ametangaza kustaafu ngumi saa chache baada ya Anthony Joshua kudai kuwa anataka kurudiana na mkongwe huyo Novemba, mwaka huu.
Wawili hao walipambana Aprili 29, mwaka huu na Joshua kufanikiwa kuibuka bingwa wa uzito wa juu kwa ushindi wa KO katika raundi ya 11, hivyo siku moja baada ya pambano hilo, Klitschko aliweka wazi kuwa yupo tayari kurudiana na Joshua.
Wiki iliyopita wakala wa Joshua alipeleka maombi kwa uongozi wa Klitschko juu ya kurudiwa kwa pambano, hivyo walikuwa wanasubiri majibu wiki hii, lakini Klitschko tayari ametangaza kustaafu.
Jana Joshua alitumia akaunti yake ya Instagram kudai kwamba …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions