: :inin Kyiv (EET)

Rais Putin amtumbua kiongozi wa majeshi


Vladimir Putin
MOSCOW, Urusi
KATIKA hali isiyotarajiwa na wengi, Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amemfukuza kazi mkuu wa majeshi ya nchi hiyo, Sergei Ivanov.
Rais Putin amechukua uamuzi huo jana ikiwa ni siku moja baada ya kufanya kikao cha ndani na wakuu wake wa masuala ya usalama nchini humo.
Kwa mujibu wa BBC, Rais Putin hakueleza sababu zilizomsukuma kuchukua uamuzi huo wa kumtimua mtendaji wake huyo wa muda mrefu.
Baada ya kuondolewa katika cheo hicho cha juu kabisa katika masuala ya usalama wa nchi hiyo, Ivanov (63) anatarajiwa kupewa majukumu mapya ya usimamizi wa masuala ya mazingira na uchukuzi.
Tayari Rais Putin amemteua Anton Vaino (44) …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions