: :inin Kyiv (EET)

#UCL: Zinedine Zidane kufuata nyayo za Guardiola kwa kuwa kocha wa 8 kutwaa Champions League katika msimu wa kwanza?


Zinédine Zidane aliteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid mapema mwezi January 2016 – lakini anaweza kuingia kwenye historia soka wiki hii kwa kuwa mmoja wa makocha waliobeba ubingwa wa Champions League katika msimu wake wa kwanza.

Zidane tayari alimshaisaidia kazi Carlo Ancelotti alipokuwa Madrid na akawa kocha wa kikosi cha reserve kabla ya kupandishwa cheo baada ya kuondoka kwa Rafa Benitez. Baada ya kuiongoza Madrid katika hatua tatu za mtoano mpaka kufikia fainali ya Jumamosi vs Atletico, Zidane huenda akafuata nyayo za makocha bora kuwahi kutokea kwenye michuano hii.

1. 1956: José Villalonga (Real Madrid)
Huyu alibeba ubingwa wa ulaya katika msimu wake …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions