: :inin Kyiv (EET)

USHINDI WA MAN CITY UNAVITU 4 VYA KUJIFUNZA KUTOKA KWA PELLEGRINI


Manchester City imesheweka mguu mmoja ndani ya robo fainali ya Champions League kutokana na ushindi wa bao 3-1 walioupata ugenini dhidi ya Dynamo Kiev ya Ukraine.
Goli mbili za kipindi cha kwanza kutoka kwa Sergio Aguero na David Silva, zinaiweka Man City kwenye nafasi ya kuweka historia kwenye michuano hiyo mikubwa.
Huku bao la tatu la Yaya Toure la sekunde chache kabla ya pambano kumalizika likizidi kupunguza matumaini ya Dynamo na kuwapa nafasi kubwa City kusonga mbele.

City haijawahi kufuzu kucheza robo fainali ya michuano hiyo lakini nyota hao wa Etihad huenda watavunja mwiko huo wiki mbili zijazo.
Kocha wa City Manuel Pellegrini sasa …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions