: :inin Kyiv (EET)

Section: Magazetini (Tanzania)

      JINAMIZI LENYE SURA MBILI LINAMKABA RAIS OBAMA
      Dec28

      JINAMIZI LENYE SURA MBILI LINAMKABA RAIS OBAMA

      KUNA usemi wa mazoea kuwa usingizi ni zoezi la kifo kwani kulala ni sawa na nusu kifo, kwa kuwa huyatambui yanayokuzunguka labda utakachokiona ni ndoto au maono kama umejaliwa karama hiyo. Lakini pia usingizini kuna mengi zikiwemo ndoto za jinamizi au kuwangiwa na walozi kutegemea na unavyoamini, lakini kuna usingizi usiofumbwa macho kwa...

      Israel yasitisha kufanya kazi na mataifa yaliyopiga kura dhidi yake
      Dec27

      Israel yasitisha kufanya kazi na mataifa yaliyopiga kura dhidi yake

      Makazi ya walowezi ya Maale Adumin yanayotazama kijiji cha Wapalestina katika ukanda wa Magharibi.TEL AVIV, ISRAEL WAZIRI Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametoa amri kwa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo kupunguza mahusiano ya kikazi na balozi za wanachama 12 wa Baraza la Usalama ambao walipiga kura kuunga mkono azimio la makazi ya Ukanda wa...

      NETANYAHU AFUTA SAFARI YA KIONGOZI WA UKRAINE
      Dec26

      NETANYAHU AFUTA SAFARI YA KIONGOZI WA UKRAINE

      WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu TEL AVIV, ISRAEL WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amefuta ziara ya mwenzake wa Ukraine baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kupiga kura kuamua ujenzi wa makazi ya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi usitishwe. Waziri Mkuu wa Ukraine, Volodymyr Groysman, alikuwa...

      Violence surges in eastern Ukraine amid reports of Russian involvement
      Dec22

      Violence surges in eastern Ukraine amid reports of Russian involvement

      The OSCE has reported nearly 3,000 explosions near the contact line, marking a notable increase in ceasefire violations. A new investigative report revealed Russian artillery attacks in 2014, undermining Moscow’s claims. …read more Source:...

      Report links Kremlin cyber unit to Ukraine conflict and US election hacking
      Dec22

      Report links Kremlin cyber unit to Ukraine conflict and US election hacking

      The hack into a Ukraine military app has reinforced claims the cyber unit known as “Fancy Bear” has a direct Kremlin link. It also reinforces US intelligence reports linking the Kremlin to cyber attacks in the US. …read more Source:...

      HISTORIA YA UWANJA UTAKAOCHEZEWA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA
      Dec19

      HISTORIA YA UWANJA UTAKAOCHEZEWA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

      Cardiff, Wales PAMOJA na kuwepo kwa viwanja vingi vya kwenye mataifa mbalimbali, lakini Uwanja wa Millennium uliopo mjini Cardiff nchini Wales, ambao utachezewa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Juni 3 mwakani una historia ya kipekee sana. Upo kwenye ziwa Taff katikati ya mji wa Cardiff. Uwanja huo umekuwa kivutio kikubwa kutokana na eneo uliopo...

      Ukraine nationalizes its largest bank, PrivatBank
      Dec19

      Ukraine nationalizes its largest bank, PrivatBank

      Ukraine has nationalized its biggest bank in order to avoid a financial meltdown. PrivatBank had been plagued by rumors that it was heavily burdened by serious debts. …read more Source:...

      Russia, Brexit and Aleppo loom over year-end EU summit
      Dec15

      Russia, Brexit and Aleppo loom over year-end EU summit

      EU leaders are facing a “minefield” of crises in their final Brussels summit of 2016. Leaders appear split on extending sanctions against Russia, approving a Ukraine deal, responses to Aleppo and Brexit negotiations. …read more Source:...

      A.J VS KLITSCHKO  LITAKUWA PAMBANO LA KITAJIRI ENGLAND
      Dec15

      A.J VS KLITSCHKO LITAKUWA PAMBANO LA KITAJIRI ENGLAND

      LONDON, England PAMBANO la milioni 42 kati ya Anthony Joshua na Wladimir Klitschko, litakuwa la kitajiri kuwahi kutokea England. Bingwa huyo wa mkanda wa IBF atakumbana na bondia wa Ukraine, mwenye umri wa miaka 40, huku mkanda uliowazi wa WBA nao utawaniwa kwenye pambano hilo linanalotarajiwa kufanyika Aprili 29, mwakani katika Uwanja wa...

      Merkel and Hollande support sanction extensions against Russia
      Dec13

      Merkel and Hollande support sanction extensions against Russia

      The German and French leaders have said they support extending sanctions against Russia over its actions in Ukraine. Merkel cited the ‘very sluggish’ implementation of last year’s peace deal as reason for the renewal. …read more Source:...