: :inin Kyiv (EET)

Section: Magazetini (Tanzania)

      Ukraine takes offense at UN chief’s view of Russian role peace talks
      Jun17

      Ukraine takes offense at UN chief’s view of Russian role peace talks

      Ukraine has reacted strongly to remarks by the UN secretary-general that appeared to praise Russia in settling the conflict in eastern Ukraine. The Kyiv envoy said Ban Ki-moon could not be a “provider of good offices.” …read more Source:...

      MASTAA WA UJERUMANI WASHINDWA KUTAMBA MBELE YA POLAND
      Jun17

      MASTAA WA UJERUMANI WASHINDWA KUTAMBA MBELE YA POLAND

      Ujerumani na Poland wamecheza kwa mara ya kwanza mchezo uliomalizika kwa sare ya bila kufungana baada ya mchezo wao wa Euro 2016 kumalizika huku kila timu ikiwa imeshindwa kupata bao katika kupambana kufuzu hatua ya mtoano utoka kwenye makundi. Timu zote sasa zinapointi 4 huku zikiwa zimesaliwa na mechi moja mkononi ambao unawezeza kuwahakikishia...

      #EURO 2016 MATCH PREVIEW: UFARANSA VS ALBANIA
      Jun15

      #EURO 2016 MATCH PREVIEW: UFARANSA VS ALBANIA

      Didier Deschamps atakuwa kwenye mtihani mwingine leo kuhakikisha timu yake inashinda dhidi ya Albania ili kujihakikishia tiketi ya kwenda hatua ya mtoano. Mchezo huu wa raundi ya pili wa kundi A, utapigwa kunako dimba la Stade Velodrome majira ya saa 4 usiku. Ufaransa ilishinda kwa mbinde mchezo wake kwanza dhidi ya Romania, shukrani za dhati...

      Russia and Ukraine free prisoners in latest swap
      Jun15

      Russia and Ukraine free prisoners in latest swap

      Two Ukrainians jailed in Russia have been released and sent home, in a prisoner swap between the two countries. Two alleged pro-Russian soldiers fighting in Ukraine were reported to have gone in the opposite direction. …read more Source:...

      NIONAVYO MIMI: CONTE MAN OF THE MATCH ITALY VS BELGIUM, MBINU ZAKE ZILIWAVURUGA HAZARD NA NDUGUZE
      Jun14

      NIONAVYO MIMI: CONTE MAN OF THE MATCH ITALY VS BELGIUM, MBINU ZAKE ZILIWAVURUGA HAZARD NA NDUGUZE

      Hadi sasa ushindi mnono kwenye mashindano ya Euro ni wa mabao 2-0, mabingwa mara 4 wa kombe la dunia Italy pamoja na Ujerumani ndiyo timu pekee ambazo zimepata ushindi huo dhidi ya mataifa ya Belgium na Ukraine. Anyways wacha nirejee kwenye mchezo wa jana usiku (Belgium vs Italy) ufundi wa kimbinu wa hali ya juu kutoka kwa Antonio Conte ulisaidia...

      #EURO 2016: MASHABIKI WA ENGLAND WAHUKUMIWA JELA UFARANSA
      Jun13

      #EURO 2016: MASHABIKI WA ENGLAND WAHUKUMIWA JELA UFARANSA

      Jumla ya mashabiki sita wa wa England wamefungwa kutokana na kuhusika katika vurugu zilizotokea jijini Marseille katika michezo ya awali ya Euro mwaka huu, wote wakifungiwa kwenda Ufaransa kwa miaka miwili. Watuhumiwa hao ambao wote walifika mahakamani wakati wa kesi hiyo iliyoendeshwa kwa saa tano, wamehukumiwa kifungo cha kati ya mwezi mmoja...

      VIBABU VYA IRELAND NA VIMBAUMBAU WA UTURUKI: TAKWIMU ZOTE KALI ZA EURO 2016 HIZI HAPA!
      Jun13

      VIBABU VYA IRELAND NA VIMBAUMBAU WA UTURUKI: TAKWIMU ZOTE KALI ZA EURO 2016 HIZI HAPA!

      Na Eusebius Paul Asalam Aleykum iwe ni salamu yangu ya upendo na heri njema kwa wataalamu wangu wote mnaopenda kupata habari na takwimu bomba za kimichezo. Msimu wa soka la kitabu na magoli yanayofanyiwa homework kabla ya mechi kuanza ndio umewadia. EURO20 16 ndio michuano pekee inayotupatia ladha halisi ya soka la kileo zaidi ya michuano yoyote...

      GAME YETU NA POLAND ITATOA MWELEKEO WA KUNDI C-LOW
      Jun13

      GAME YETU NA POLAND ITATOA MWELEKEO WA KUNDI C-LOW

      Mara baada ya mchezo wa Ujerumani dhidi ya Ukraine, kocha wa Ujerumani Jochim Low amewaambia waandishi wa habari kwamba, haikuwa rahisi kupata ushindi dhidi ya Ukraine yenye safu ngumu ya ulinzi lakini walifanikiwa kufanya hivyo Low pia ameutaja mchezo wa Alhamisi kati ya Ujerumani dhidi Poland ndiyo utaamua msimamo wa kundi nani anaongoza na...

      GAME YETU NA POLAND ITATOA MWELEKEO WA KUNDI C
      Jun13

      GAME YETU NA POLAND ITATOA MWELEKEO WA KUNDI C

      Mara baada ya mchezo wa Ujerumani dhidi ya Ukraine, kocha wa Ujerumani Jochim Low amewaambia waandishi wa habari kwamba, haikuwa rahisi kupata ushindi dhidi ya Ukraine yenye safu ngumu ya ulinzi lakini walifanikiwa kufanya hivyo Low pia ameutaja mchezo wa Alhamisi kati ya Ujerumani dhidi Poland ndiyo utaamua msimamo wa kundi nani anaongoza na...

      UJERUMANI YAANZA KWA USHINDI NA KUENDELEZA REKODI YA KIBABE ULAYA
      Jun13

      UJERUMANI YAANZA KWA USHINDI NA KUENDELEZA REKODI YA KIBABE ULAYA

      Mabingwa wa dunia timu ya taifa ya Ujerumani wameanza michuano ya Ulaya kwa rekodi kwa kuinyuka Ukraine. Ukiachilia mbali kiwango cha juu kilichooneshwa na Toni Kroos na goli la mapema la kichwa lililofungwa na Shkodran Mustafi, bado safu yao ya ulinzi ilifanya makosa mara kadhaa. Jerome Boateng aliokoa mpira kwenye mstari wakati golikipa wa...